// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
WAMBURA WA TFF KATIKA JOPO LA WARATIBU AFCON 2022 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEWAMBURA WA TFF KATIKA JOPO LA WARATIBU AFCON 2022 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MKURUGENZI wa Sheria, Habari na Masoko wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura (katikati) akiwa na Maofisa wenzake, Inas Mazhar wa Misri (Kulia) na Yousseif Guireh wa Djibouti katika kikao na timu ya Nigeria ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) Jijini Garoua nchini Cameroon.
Wambura yupo kwenye jopo la Waratibu la Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa fainali za zinazotarajiwa kuanza Jumapili AFCON Cameroon.
ISN appoints Young-Esumeh CEO
-
Internet Solutions Nigeria Limited (ISN) has announce the appointment of
Mrs. Oluwakemi Young-Esumeh as its new chief executive officer, effective
April ...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment