• HABARI MPYA

    Tuesday, January 11, 2022

    NIGERIA YAICHAPA MISRI 1-0, ALGERIA YASHIKWA AFCON


    TIMU ya taifa ya Nigeria imeanza vyema Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Misri leo, bao pekee la mshambuliaji wa Leicester City, Kelechi Iheanacho dakika ya 30 katika mchezo wa Kundi D Uwanja wa Roumdé Adjia Jijini Garoua.
    Nao mabingwa watetezi, Algeria wamelazimishwa sare ya bila kufungana na Sierra Leone katika mchezo wa Kundi E Uwanja wa Japoma Jijini Douala.
    Mechi nyingine ya Kundi D,  Sudan imetoka sare ya bila kufungana na Guinea-Bissau Uwanja wa Roumdé Adjia Jijini Garoua.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NIGERIA YAICHAPA MISRI 1-0, ALGERIA YASHIKWA AFCON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top