MECHI za Hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) zitachezwa mwishoni mwa Februari zikihusisha timu 13 za Ligi Kuu, moja ya Championship ambayo ni Pamba na mbili za Daraja la Kwanza, ambazo ni Baga Friends na Mbuni FC.
0 comments:
Post a Comment