• HABARI MPYA

    Monday, January 24, 2022

    ARSENAL YAWASHINDWA VIBONDE BURNLEY, 0-0 EMIRATES


    WENYEJI, Arsenal wamelazimishwa sare ya 0-0 na Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates Jijini London.
    Arsenal inafikisha pointi 36 katika mchezo wa 21, ingawa inabaki nafasi ya sita, wakati Burnley inatimiza pointi 12 katika mchezo wa 18 na inaendelea kushika mkia.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YAWASHINDWA VIBONDE BURNLEY, 0-0 EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top