BAO pekee la Christian Bahera dakika ya limeipa Tanzania ushindi wa 1-0 dhidi ya Ethiopia katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Tatu Kufuz Kombe la Dunia kwa Wasichana chini ya umri wa miaka 20 Costa Rica baadaye mwaka huu.
Katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Amaan, Zanzibar, Tanzanite ingeweza kupata mabao zaidi kama igetumia vyema nafasi ilizopata.
0 comments:
Post a Comment