// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
SIMBA NA DAR CITY, YANGA NA MBAO FC 32 BORA ASFC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINESIMBA NA DAR CITY, YANGA NA MBAO FC 32 BORA ASFC - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MABINGWA watetezi, Simba SC watamenyana na Dar City katika Hatua 32 Bora na 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup (ASFC).
Katika droo iliyofanyika leo studio za AzamTv, Tabata Jijini Dar es Salaam, washindi wa pili wa msimu uliopita, Yanga SC watamenyana na Mbao FC, wakati Azam FC watacheza na Transit Camp na vigogo wote hao watatu watakuwa nyumbani.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment