• HABARI MPYA

    Sunday, January 16, 2022

    BRUNO APIGA MBILI LAKINI MAN U YADROO


    WENYEJI, Aston Villa usiku jana wamelazimishwa sare ya 2-2 na Manchester United Uwanja wa Villa Park Jijini Birmingham.
    Mabao ya Man United yalifungwa na Bruno Fernandes yote dakika ya sita na 67, wakati ya Aston Villa yalifungwa na Jacob Ramsey dakika ya 77 na mchezaji mpyam Philippe Coutinho dakika ya 81.
    United wanafikisha pointi 32 katika mchezo wa 20 sasa wakiwa nafasi ya saba, wakati Villa inatimiza pointi 23 mechi 20 pia nafasi ya 13.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BRUNO APIGA MBILI LAKINI MAN U YADROO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top