• HABARI MPYA

    Sunday, January 16, 2022

    MAN CITY YAIKALISHA CHELSEA 1-0 ETIHAD


    BAO pekee la Kevin De Bruyne dakika ya 20 limetosha kuipa Manchester City ushindi wa 1-0 dhidi ya katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa Etihad.
    Kwa ushindi huo, Man City wanafikisha pointi 56 na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi 13 zaidi ya Chelsea wanaofuatia baada ya timu zote kucheza mechi 22.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAIKALISHA CHELSEA 1-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top