Mwanzo > TANZANIA PRISONS > PRISONS YAMSAJILI KIPA WA TAIFA JANG’OMBE HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TANZANIA PRISONS PRISONS YAMSAJILI KIPA WA TAIFA JANG’OMBE TIMU ya Tanzania Prisons imemsajili kipa Hussein Abel Thomas kutoka Taifa Jang’ombe ya Zanzibar baada ya kuonyesha kiwango kizuri kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi ikiwemo kuwa Mchezaji Bora wa mechi dhidi ya Yanga SC. Monday, January 10, 2022 HABARI MOTOMOTO HABARI ZA NYUMBANI TANZANIA PRISONS
0 comments:
Post a Comment