• HABARI MPYA

    Saturday, January 22, 2022

    MAN UNITED YAICHAPA WEST HAM 1-0


    TIMU ya Manchester United imewatandika wenyeji, West Ham 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford Jijini Manchester.
    Bao pekee la Manchester United katika mchezo huo likefungwa na mshambuliaji Marcus Rashford dakika ya 90 na 
    Kwa ushindi huo, kikosi cha kocha Mjerumani, Ralf Rangnick kinafikisha pointi 38 katika mchezo wa 22 na kusogea nafasi ya nne kikiizidi pointi moja West Ham ambayo pia imecheza mechi moja zaidi.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN UNITED YAICHAPA WEST HAM 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top