KIUNGO mkongwe, Shaaban Kisiga ‘Malone’ ni miongoni mwa wachezaji wapya saba waliosajiliwa na klabu ya Mbeya City katika dirisha dogo kwa ajili ya sehemu iliyobaki ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara. Wengine ni kipa Deogratius Munishi ‘Duda’, mabeki Juhudi Kibanda, Hamad Waziri na Faisal Mganga, viungo Jamal Issa na mshambuliaji Joseph Ssemuja.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment