KIUNGO mkongwe, Shaaban Kisiga ‘Malone’ ni miongoni mwa wachezaji wapya saba waliosajiliwa na klabu ya Mbeya City katika dirisha dogo kwa ajili ya sehemu iliyobaki ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara.
Wengine ni kipa Deogratius Munishi ‘Duda’, mabeki Juhudi Kibanda, Hamad Waziri na Faisal Mganga, viungo Jamal Issa na mshambuliaji Joseph Ssemuja.
0 comments:
Post a Comment