• HABARI MPYA

    Thursday, January 13, 2022

    MHESA AREJEA MTIBWA SUGAR BAADA YA NUSU MSIMU RUVU


    KIUNGO Ismail Aidan Mhesa amerejea klabu ya Mtibwa Sugar ya Morogoro baada ya nusu msimu ya kuwa na Ruvu Shooting ya Pwani, huo ukiwa mwendelezo wa mkakati wa kocha Salum Mayanga kuijenga upya timu hiyo iliyopoteza makali yake.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MHESA AREJEA MTIBWA SUGAR BAADA YA NUSU MSIMU RUVU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top