KIONGOZI wa klabu ya Yanga, Hersi Said amepewa onyo kali kwa kosa la kuingia uwanjani kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga.
Taarifa ya Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TPLB) imesema kwamba nayo Coastal imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 baada ya mashabiki wake kumtupia chupa mchezaji wa Yanga wakati akishangilia.
0 comments:
Post a Comment