• HABARI MPYA

    Monday, January 06, 2020

    LIVERPOOL YAIPIGA EVERTON 1-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA FA

    Kiungo wa England, kijana mdogo wa umri wa miaka 18, Curtis Jones akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Liverpool dakika ya 71 ikiilaza Everton 1-0 katika mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England jana Uwanja wa Anfield 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAIPIGA EVERTON 1-0 NA KUSONGA MBELE KOMBE LA FA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top