Mshambuliaji Mfaransa Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao yote mawili dakika za 72 na 90 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Ibiza ya Segunda B iliyotangulia kwa bao la Pep Caballe dakika ya tisa Uwanja wa Manispaa ya Can Misses katika mchezo wa Hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: FA did NOT discuss controversial decision to scrap replays with
FA Cup Committee - as details emerge of heated meeting with EFL
representatives
-
The FA's controversial move to scrap FA Cup replays from next season was
not discussed by the governing body's FA Cup Committee in another
indication of th...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment