Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akishangilia baada ya kuifungia Difaa Hassan El-Jadida bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Rapide Oued Zem ambayo bao lake lilifungwa na winga wa Mali, Abdoulaye Diarra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu Botola Pro usiku wa jana Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.
Rodrygo latest: 'Five Premier League clubs - including Man United - ready
to battle over the Brazilian' as he looks to depart Real Madrid following
issue with Jude Bellingham
-
The Brazilian is primed for a summer exit from the Santiago Bernabeu after
reportedly deciding he doesn't want to play for the club again, and is
believed ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment