Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akishangilia baada ya kuifungia Difaa Hassan El-Jadida bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Rapide Oued Zem ambayo bao lake lilifungwa na winga wa Mali, Abdoulaye Diarra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu Botola Pro usiku wa jana Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.
Jayson Tatum, Celtics Ridiculed By NBA Fans for Game 2 Loss to Heat With
Butler Out
-
Shooting the lights out is a pretty good strategy to adopt when you're
missing your best player. The Miami Heat evened up their first-round NBA
playoff ser...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment