Kiungo mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Happygod Msuva akishangilia baada ya kuifungia Difaa Hassan El-Jadida bao la kuongoza dakika ya sita katika sare ya 1-1 na Rapide Oued Zem ambayo bao lake lilifungwa na winga wa Mali, Abdoulaye Diarra kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco, maarufu Botola Pro usiku wa jana Uwanja wa Ben Ahmed El Abdi mjini El Jadida, Mazghan.
Race for Middlesbrough's in-demand star Hayden Hackney set to intensify
with Crystal Palace readying a bid - topping Everton's latest proposal
-
Crystal Palace are readying a bid for Middlesbrough midfielder Hayden
Hackney - igniting the race for his signature.
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment