Wababe wa uzito juu duniani, Muingereza Tyson Fury (kulia) na Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) watarudiana Februari 22 Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano lao la kwanza Desemba 1, mwaka 2018 ukumbi wa Staples Center Jinini Los Angeles. Mshindi atapambana na Anthony Joshua katika pambano kubwa zaidi la kumsaka bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
White House shooting won’t deter me from Iran war – Trump
-
United States President Donald Trump has insisted that the shooting
incident which disrupted the White House Correspondents’ Dinner will not
slow down hi...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment