Wababe wa uzito juu duniani, Muingereza Tyson Fury (kulia) na Mmarekani Deontay Wilder (kushoto) watarudiana Februari 22 Jijini Las Vegas, Marekani baada ya kutoka droo kwenye pambano lao la kwanza Desemba 1, mwaka 2018 ukumbi wa Staples Center Jinini Los Angeles. Mshindi atapambana na Anthony Joshua katika pambano kubwa zaidi la kumsaka bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce announces Prince William as shock wedding day podcast guest…
hours before tying the knot with Taylor Swift
-
Prince William is the special guest on Travis Kelce's podcast to be
released today - hours before he is due to marry Taylor Swift.
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment