Roberto Firmino, Jordan Henderson, Mohamed Salah, na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya Liverpool kupata bao la kwanza jana katika ushindi wa 2-0 dhidi ya West Ham United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa London. Mabao ya Liverpool yalifungwa na Mohamed Salah dakika ya 35 kwa penalti na Alex Oxlade-Chamberlain dakika ya 52 na kwa ushindi huo, Wekundu hao wa Anfield sasa wanaongoza Ligi Kuu kwa pointi 19 zaidi ya Manchester City wanaofuatia baada ya wote kucheza mechi 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manny Ramirez's son Lucas homers TWICE against Team USA as Brazil puts
scare into heavy favorites at WBC
-
Team Brazil, whose players struggle to find organized leagues, gave Team
USA a scare in the World Baseball Classic, thanks to a leadoff home run
from a pla...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment