Beki wa Real Madrid, Nacho akipongezwa na Nahodha, Sergio Ramos (kulia) na kocha Zinedine Zidane (kushoto) baada ya kuifungia bao pekee timu hiyo dakika ya 78 ikiwalaza 1-0 wenyeji, Real Valladolid Uwanja wa Manispaa ya Jose Zorrilla na kupanda kileleni mwa La Liga, sasa wakiwazidi pointi tatu mabingwa watetezi, Barcelona (46-43) baada ya wote kucheza mechi 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2021/22 Ghana Premier League: Week 30 Match Report - Elmina Sharks 1-3 AshantiGold
-
AshantiGold SC defied the odds as they put aside their predicaments to beat
bottom placed Elmina Sharks FC in the Ghana Premier League on Sunday
afternoon....
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni