Gabriel Jesus akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 72 na 75 kufuatia Ilky Gundogan kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya nane na Bernardo Silva la pili dakika ya dakika ya 19 katika ushindi wa 4-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham beat Norwich to guarantee champions League spot ahead of Arsenal
-
Tottenham Hotspur sealed a Top Four finish this season to guarantee
Champions League football after thumping Norwich 5-0 away on the last day
of Premier Le...
Dakika 4 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni