• HABARI MPYA

    Sunday, January 26, 2020

    JESUS APIGA MBILI MANCHESTER CITY YAICHAPA FULHAM 4-0

    Gabriel Jesus akishangilia na wachezaji wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 72 na 75 kufuatia Ilky Gundogan kufunga la kwanza kwa penalti dakika ya nane na Bernardo Silva la pili dakika ya dakika ya 19 katika ushindi wa 4-0 wa Manchester City dhidi ya Fulham kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England leo Uwanja wa Etihad 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JESUS APIGA MBILI MANCHESTER CITY YAICHAPA FULHAM 4-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top