• HABARI MPYA

    Wednesday, January 29, 2020

    MTHAILAND AWASILI DAR KUZIPIGA NA MTANGO IJUMAA MKWAKWANI

    Bondia Suriya Tatakhun akiwa na kocha wake baada ya kuwasili leo Jijini Dar es Salaam kutoka kwao, Thailand tayari kwa pambano kubwa la ngumi la kimataifa dhidi ya mwenyeji, Salim Jengo Mtango usiku wa Ijumaa Uwanja wa Mkwakwani Jijini Tanga kuwania taji lilio wazi la UBO uzito wa Light 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MTHAILAND AWASILI DAR KUZIPIGA NA MTANGO IJUMAA MKWAKWANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top