• HABARI MPYA

    Wednesday, January 22, 2020

    AGUERO AIFUNGIA BAO PEKEE MAN CITY IKIILAZA 1-0 SHEFFILD

    Mshambuliaji Sergio Aguero aliyetokea benchi dakika ya 67 kuchukua nafasi ya Gabriel Jesus akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 73 ikiwalza wenyeji Sheffield United 1-0 Uwanja wa Bramall Lane katika mchezo wa Ligi Kuu ya England 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO AIFUNGIA BAO PEKEE MAN CITY IKIILAZA 1-0 SHEFFILD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top