Washambuliaji Marcus Rashford na Anthony Martial wakipongezana baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushndi wa 4-0 dhid ya Norwich City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Rashford ambaye amecheza mechi ya 200 leo Man United amefunga bao la kwanza dakika ya 27 na la pili kwa penalti dakika ya 52 na Martial la tatu dakika ya 54, wakati la nne limefungwa na Mason Greenwoodon dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Where to watch Ivory Coast vs. Norway live stream, TV channel, start time
for World Cup Round of 32 match
-
Here's everything you need to know to watch the Ivory Coast vs. Norway
World Cup match, including where to watch on TV or live stream, what time
the game s...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment