Washambuliaji Marcus Rashford na Anthony Martial wakipongezana baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushndi wa 4-0 dhid ya Norwich City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Rashford ambaye amecheza mechi ya 200 leo Man United amefunga bao la kwanza dakika ya 27 na la pili kwa penalti dakika ya 52 na Martial la tatu dakika ya 54, wakati la nne limefungwa na Mason Greenwoodon dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal star Granit Xhaka sends rallying cry to his old team-mates
after back-to-back defeats against Aston Villa and Bayern Munich left them
at risk of missing out on silverware this season
-
The Gunners have enjoyed an incredible season that has seen them play some
superb football under Mikel Arteta, but defeats to Villa and Bayern has
dealt a ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment