Washambuliaji Marcus Rashford na Anthony Martial wakipongezana baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushndi wa 4-0 dhid ya Norwich City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Rashford ambaye amecheza mechi ya 200 leo Man United amefunga bao la kwanza dakika ya 27 na la pili kwa penalti dakika ya 52 na Martial la tatu dakika ya 54, wakati la nne limefungwa na Mason Greenwoodon dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Regional framework could be set up to monitor rapidly shrinking Caspian
Sea, Azerbaijani official says
-
BAKU, June 30 (Reuters) - A legal framework could be drawn up this year on
regional cooperation to monitor and seek to adapt to falling water levels
in the...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment