Washambuliaji Marcus Rashford na Anthony Martial wakipongezana baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushndi wa 4-0 dhid ya Norwich City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Rashford ambaye amecheza mechi ya 200 leo Man United amefunga bao la kwanza dakika ya 27 na la pili kwa penalti dakika ya 52 na Martial la tatu dakika ya 54, wakati la nne limefungwa na Mason Greenwoodon dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mayhem at end of Nuggets-Timberwolves playoff game as Nikola Jokic sparks
huge brawl after Jaden McDaniels' controversial act
-
As his team moved 3-1 ahead in the series, Timberwolves star Jaden
McDaniels angered Nuggets rival Nikola Jokic when he ran through
unchallenged and scored...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment