Washambuliaji Marcus Rashford na Anthony Martial wakipongezana baada ya wote kuifungia Manchester United katika ushndi wa 4-0 dhid ya Norwich City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Rashford ambaye amecheza mechi ya 200 leo Man United amefunga bao la kwanza dakika ya 27 na la pili kwa penalti dakika ya 52 na Martial la tatu dakika ya 54, wakati la nne limefungwa na Mason Greenwoodon dakika ya 76 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Head century drives England closer to Ashes defeat
-
England are pushed towards the precipice of the fastest Ashes series defeat
in more than 100 years as a Travis Head century maintains Australia's grip
on t...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment