Jason Cummings akishangilia baada ya kuifungia Shrewsbury Town mabao mawili dakika za 65 kwa penalti na 75 kuisaidia kupata sare ya 2-2 na mabingwa wa Ulaya, Liverpool katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Montgomery Waters Meadow. Liverpool ilitangulia akwa mabao ya Curtis Jones dakika ya 15 na Donald Love aliyejifunga kwa bahati mbaya dakika ya 46 na sasa timu hizo zitarudiana Uwanja wa Anfield kuwania kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steamy new photos catch Kim Kardashian's intimate moment with Lewis
Hamilton... as insiders reveal cruel whispers of jealous WAGs
-
Kim Kardashian's polarizing entrance into the world of Formula One this
weekend has sent the rumor mill into overdrive across one of the world's
most ego-...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment