Jason Cummings akishangilia baada ya kuifungia Shrewsbury Town mabao mawili dakika za 65 kwa penalti na 75 kuisaidia kupata sare ya 2-2 na mabingwa wa Ulaya, Liverpool katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Montgomery Waters Meadow. Liverpool ilitangulia akwa mabao ya Curtis Jones dakika ya 15 na Donald Love aliyejifunga kwa bahati mbaya dakika ya 46 na sasa timu hizo zitarudiana Uwanja wa Anfield kuwania kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane has a 'DINOSAUR mentality', blasts West Ham striker Michail
Antonio - after Man United legend made thinly-veiled dig at him for
podcasting and 'having a laugh' after defeats
-
Michail Antonio has hit out at Roy Keane's 'dinosaur mentality' after the
Manchester United legend criticised players who host podcasts.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment