• HABARI MPYA

    Saturday, January 18, 2020

    ARSENAL 'WANYIMWA PENALTI' WALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA SHEFFIELD

    Nicolas Pepe wa Arsenal akienda chini baada ya kuangushwa na Jack O'Connell wa Sheffield United kwenye boksi, lakini refa Mike Dean hakutoa penalti timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Gabriel Martinelli alianza kuifungia Arsenal dakika ya 45 kabla ya John Fleck kuisawazishia Sheffield United dakika ya 83 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL 'WANYIMWA PENALTI' WALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA SHEFFIELD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top