Mshambuliaji Mbrazil, Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 37 akimalizia pasi ya Mmisri, Mohamed Salah katika ushindi wa ugenini wa 1-0 Liverpool dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South African protesters call for undocumented migrants to leave
-
Anti-immigrant protesters march in Durban as the March and March movement
calls for government action on undocumented migration amid a police
presence.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment