Mshambuliaji Mbrazil, Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao pekee dakika ya 37 akimalizia pasi ya Mmisri, Mohamed Salah katika ushindi wa ugenini wa 1-0 Liverpool dhidi ya wenyeji, Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Tottenham Hotspur Jijini London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rory McIlroy reveals why wife Erica missed his BBC SPOTY triumph - after
YEARS of coming close to the prize
-
The Northern Irishman finally got his hands on the prize after a stunning
year which saw him win The Masters, thereby completing golf's Grand Slam,
as well...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment