Wachezaji wa Arsenal wakimzonga refa Paul Tierney wakati anamuonyesha kadi nyekundu Nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 67 kwa kumchezea rafu Max Meyer katika sare ya 1-1 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Aubameyang alitoka akiwa ameifungia Arsenal bao la kuongoza dakika ya 12 akimalizia pasi ya Alexandre Lacazette, kabla ya Jordan Ayew kuisawazishia Crystal Palace akimtungua Bernd Leno kwa shuti lililombabatiza David Luiz PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erst das U17-Derby, dann die Meisterschafts-Endrunde
-
Borussias U17 bestreitet am Samstag (13 Uhr) mit dem Duell gegen Schalke 04
das letzte Spiel der B-Junioren-Bundesliga West und hat schon das
Halbfinale um...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment