Wachezaji wa Arsenal wakimzonga refa Paul Tierney wakati anamuonyesha kadi nyekundu Nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 67 kwa kumchezea rafu Max Meyer katika sare ya 1-1 na Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Selhurst Park Jijini London. Aubameyang alitoka akiwa ameifungia Arsenal bao la kuongoza dakika ya 12 akimalizia pasi ya Alexandre Lacazette, kabla ya Jordan Ayew kuisawazishia Crystal Palace akimtungua Bernd Leno kwa shuti lililombabatiza David Luiz PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious local media accuse Virgil van Dijk of 'ruining Dutch football' with
Liverpool star told his 'time is up' following the Netherlands' dramatic
World Cup exit to Morocco
-
Ronald Koeman 's men crashed out on Tuesday morning at the hands of an
energetic and daring Morocco side, who were the better team and should have
won in n...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment