Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji (kulia) akiwa na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Andres Sjoberg leo Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yaliyohusu ushirikiano wa maendeleo ya soka ya vijana. Mo Dewji amesema Balozi Sjoberg amejitolea kuleta makocha mashuhuri kuisaidia Simba kuanza mpango huo na kuzindua kituo cha kukuza soka ya vijana cha klabu hiyo ndani ya mwaka huu
NFL Exec on Caleb Williams: 'He's Built Different' Than Panthers' Bryce
Young
-
Like Bryce Young, the No. 1 pick of the 2023 draft, prospective top 2024
selection Caleb Williams is smaller than the average NFL quarterback. The
difference…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment