Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji (kulia) akiwa na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Andres Sjoberg leo Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yaliyohusu ushirikiano wa maendeleo ya soka ya vijana. Mo Dewji amesema Balozi Sjoberg amejitolea kuleta makocha mashuhuri kuisaidia Simba kuanza mpango huo na kuzindua kituo cha kukuza soka ya vijana cha klabu hiyo ndani ya mwaka huu
Bruno Fernandes reveals the moment he knew Michael Carrick was ready for
the Man United job as captain explains how interim manager transformed the
club after Ruben Amorim tenure
-
Daily Mail Sport revealed this week that Carrick is in pole position to
land the Man United head coach role on a permanent basis after guiding the
club to ...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment