Mwenyekiti wa Bodi ya Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji (kulia) akiwa na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, Andres Sjoberg leo Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yaliyohusu ushirikiano wa maendeleo ya soka ya vijana. Mo Dewji amesema Balozi Sjoberg amejitolea kuleta makocha mashuhuri kuisaidia Simba kuanza mpango huo na kuzindua kituo cha kukuza soka ya vijana cha klabu hiyo ndani ya mwaka huu
Key Alabama football booster arrested in human trafficking bust weeks
before new college football season
-
A long-time sportswriter and key member of the Alabama Crimson Tide's
recruiting effort has been arrested in a wide-ranging human-trafficking
sting for all...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment