Callum Hudson-Odoi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Jorginho dakika ya 27 kwa penalti na Tammy Abraham dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgraced A-League star Ulises Davila to be sentenced for corrupt conduct
in 2026 - as Football Australia issues its own bans over spot-fixing from
three other tarnished players
-
Disgraced A-League star Ulises Davila will be sentenced for corrupt conduct
next year after bail was continued in Sydney's Downing Centre on December
19.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment