Callum Hudson-Odoi akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la tatu dakika ya 49 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Burnley kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. Mabao mengine ya Chelsea yamefungwa na Jorginho dakika ya 27 kwa penalti na Tammy Abraham dakika ya 38 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arne Slots breaks silence over Liverpool move, with Feyenoord boss
admitting 'it is no secret I'd like to go' and insisting he is 'confident
in the clubs reaching agreement' for him to succeed Jurgen Klopp
-
Arne Slot says he has every confidence that Liverpool and Feyenoord will
soon reach an agreement for him to become the new Anfield boss next season.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment