Kiungo Mreno, Bruno Fernandes (kulia) akisaini mkataba wa miaka mitano na nusu kujiunga na Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya kwao, Ureno kwa dau la Pauni Milioni 46.6, ambalo linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 68. Kushoto ni kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ambaye ana matumaini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ataisaidia timu yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LeBron James reveals how close he was to signing for Reebok after
life-changing offer in 2003
-
On the latest episode of the New Heights podcast, King James joined fellow
Northeast Ohio natives and NFL stars Travis and Jason Kelce.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment