• HABARI MPYA

    Friday, January 31, 2020

    FERNANDES ATUA MAN UNITED KWA MKATABA WA MIAKA MITANO NA NUSU

    Kiungo Mreno, Bruno Fernandes (kulia) akisaini mkataba wa miaka mitano na nusu kujiunga na Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya kwao, Ureno  kwa dau la Pauni Milioni 46.6, ambalo linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 68. Kushoto ni kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ambaye ana matumaini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ataisaidia timu yake 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FERNANDES ATUA MAN UNITED KWA MKATABA WA MIAKA MITANO NA NUSU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top