Kiungo Mreno, Bruno Fernandes (kulia) akisaini mkataba wa miaka mitano na nusu kujiunga na Manchester United kutoka Sporting Lisbon ya kwao, Ureno kwa dau la Pauni Milioni 46.6, ambalo linaweza kupanda hadi Pauni Milioni 68. Kushoto ni kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer ambaye ana matumaini mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ataisaidia timu yake PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Complete 2024 NBA Playoff Bracket Predictions and Key Player Matchups
-
With the 2023-24 NBA regular season and play-in tournament complete, the
real fireworks can begin. The 2024 playoffs offer a collection of both
young teams…
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment