Azam FC ya Dar es Salaam imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, bao pekee la mshambuliaji wake, Shaaban Iddi Chilunda dakika ya 20 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambao wenyeji walipoteza mkwaju wa penalti baada ya Gerald Mathias kupiga nje dakika ya tano
🧤Alisson and Ederson share Premier League Golden Glove award
-
The 2021/22 Premier League golden glove has been shared by Manchester
City's Ederson and Liverpool's Alisson. The two Brazilians went into the
last match ...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni