• HABARI MPYA

    Wednesday, January 22, 2020

    CHILUNDA AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAIBUKA NA USHINDI WA 1-0 DHIDI YA MWADUI FC SHINYANGA

    Azam FC ya Dar es Salaam imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, bao pekee la mshambuliaji wake, Shaaban Iddi Chilunda dakika ya 20 katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara ambao wenyeji walipoteza mkwaju wa penalti baada ya Gerald Mathias kupiga nje dakika ya tano 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHILUNDA AIFUNGIA BAO PEKEE AZAM FC YAIBUKA NA USHINDI WA 1-0 DHIDI YA MWADUI FC SHINYANGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top