• HABARI MPYA

    Sunday, January 19, 2020

    NEWCASTLE UNITED YAICHAPA CHELSEA 1-0 BAO PEKEE LA HAYDEN

    Isaac Hayden akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Newcastle United dakika ya 90 na ushei ikiibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jana Uwanja wa St James' Park 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NEWCASTLE UNITED YAICHAPA CHELSEA 1-0 BAO PEKEE LA HAYDEN Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top