Nyota wa Real Madrid, Mbrazil Vinicius Junior akiwatoka mabeki wa Real Zaragoza katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania usiku wa jana Uwanja wa De la Romareda. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Raphael Varane dakika ya sita, Lucas Vazquez dakika ya 32, Vinicius Junior dakika ya 72 na Karim Benzema dakika ya 79 na kwa ushindi huo kikosi cha Mfaransa, Zinedine Zidane kinatinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manny Ramirez's son Lucas homers TWICE against Team USA as Brazil puts
scare into heavy favorites at WBC
-
Team Brazil, whose players struggle to find organized leagues, gave Team
USA a scare in the World Baseball Classic, thanks to a leadoff home run
from a pla...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment