SAMATTA AANZA KUJIFUA ASTON VILLA IKIJIANDAA KUIVAA LEICESTER CITY JUMANNE
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akimiliki mpira kwenye mazoezi ya klabu yake, vwanja vya Bodymoor Heath, jirani na Kingsbury, Kaskazini mwa Warwickshire.
Samatta aliyesajiliwa Aston Villa wiki hii kwa dau la Pauni Milioni 10 kutoka KRC Genk ya Ubelgiji anatarajiwa kuanza kazi rasmi katika klabu yake hiyo mpya Jumanne itakapomenyana na Leicester City katika Kombe la Ligi England
„Ich weiß, dass wir als Team zusammenstehen.“
-
Wenn am kommenden Sonntag das Rückspiel im Viertelfinale der European
League gegen Neptunes de Nantes ansteht, wollen die BVB-Handballerinnen
alles versuch...
WAKAZI WA TABATA WAKUTANA NA NEEMA YA TUWODO
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tuinuke Women Development Organization ( TUWODO ),
Bi. Awena Omar Shaib akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi wa Tabata
Liwiti j...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment