Roberto Firmino (kulia) akishangilia na beki Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza Wolverhampton Wanderers 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux. Liverpool ilitangulia kwa bao la Jordan Henderson dakika ya nane kabla ya Raul Jimenez kuisawazishia Wolves dakika ya 51 na kwa ushindi huo, Kops wanaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 16 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steamy new photos catch Kim Kardashian's intimate moment with Lewis
Hamilton... as insiders reveal cruel whispers of jealous WAGs
-
Kim Kardashian's polarizing entrance into the world of Formula One this
weekend has sent the rumor mill into overdrive across one of the world's
most ego-...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment