Roberto Firmino (kulia) akishangilia na beki Virgil van Dijk baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza Wolverhampton Wanderers 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Molineux. Liverpool ilitangulia kwa bao la Jordan Henderson dakika ya nane kabla ya Raul Jimenez kuisawazishia Wolves dakika ya 51 na kwa ushindi huo, Kops wanaendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi 16 zaidi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
49ers coach Kyle Shanahan involved in horrific offseason car crash that
left him with a broken nose, ribs and hand
-
San Francisco 49ers head coach Kyle Shanahan was involved in a terrifying
offseason car crash that left him with multiple injuries.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment