Refa Kevin Friend akimuonyesha Nemanja Matic wa Manchester United kadi nyekundu dakika ya 76 baada ya kumuonyesha kadi ya njano ya pili kwa kumchezea rafu Ilkay Gundogan wa Manchester City kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Etihad. Manchester United ilishinda 1-0, bao pekee la Matic dakika ya 35, lakini ni Manchester City inayokwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Old Trafford Januari 7 na itamenyana na Aston Villa Machi 1, Uwanja wa Wembley, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bruno Fernandes reveals the moment he knew Michael Carrick was ready for
the Man United job as captain explains how interim manager transformed the
club after Ruben Amorim tenure
-
Daily Mail Sport revealed this week that Carrick is in pole position to
land the Man United head coach role on a permanent basis after guiding the
club to ...
49 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment