Refa Kevin Friend akimuonyesha Nemanja Matic wa Manchester United kadi nyekundu dakika ya 76 baada ya kumuonyesha kadi ya njano ya pili kwa kumchezea rafu Ilkay Gundogan wa Manchester City kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Etihad. Manchester United ilishinda 1-0, bao pekee la Matic dakika ya 35, lakini ni Manchester City inayokwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 baada ya kushinda 3-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Old Trafford Januari 7 na itamenyana na Aston Villa Machi 1, Uwanja wa Wembley, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea suffer fresh blow as Enzo Fernandez will MISS the rest of the
season with groin injury... with £107m midfielder to undergo surgery to be
fit in time for the Copa America
-
Enzo Fernandez will miss the remainder of the Premier League season after
undergoing surgery to address a groin injury in time for the Copa America.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment