Eddie Nketiah akishangilia na Bukayo Saka baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 26 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Saka alifunga bao la kwanza dakika ya tano, wakati bao la Bournemouth lilifungwa na Sam Surridge dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Race for Middlesbrough's in-demand star Hayden Hackney set to intensify
with Crystal Palace readying a bid - topping Everton's latest proposal
-
Crystal Palace are readying a bid for Middlesbrough midfielder Hayden
Hackney - igniting the race for his signature.
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment