Eddie Nketiah akishangilia na Bukayo Saka baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 26 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Saka alifunga bao la kwanza dakika ya tano, wakati bao la Bournemouth lilifungwa na Sam Surridge dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Richard Keys claims Match Of The Day will be scrapped NEXT: Former Sky
Sports star makes huge prediction as he reveals why BBC have pulled the
plug on Football Focus
-
The BBC announced on Thursday that Football Focus would end after 52 years
at the conclusion of the current season - a decision made amid accusations
the p...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment