Eddie Nketiah akishangilia na Bukayo Saka baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 26 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Saka alifunga bao la kwanza dakika ya tano, wakati bao la Bournemouth lilifungwa na Sam Surridge dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steamy new photos catch Kim Kardashian's intimate moment with Lewis
Hamilton... as insiders reveal cruel whispers of jealous WAGs
-
Kim Kardashian's polarizing entrance into the world of Formula One this
weekend has sent the rumor mill into overdrive across one of the world's
most ego-...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment