Eddie Nketiah akishangilia na Bukayo Saka baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 26 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Saka alifunga bao la kwanza dakika ya tano, wakati bao la Bournemouth lilifungwa na Sam Surridge dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce gives abrupt answer to question about Chiefs locker room
before Texans playoff showdown
-
The Kansas City Chiefs have the chance to do something that no team - not
the Cowboys, not the Steelers, not even the Patrtiots - has ever done: win
three ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment