Eddie Nketiah akishangilia na Bukayo Saka baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 26 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya AFC Bournemouth kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Vitality. Saka alifunga bao la kwanza dakika ya tano, wakati bao la Bournemouth lilifungwa na Sam Surridge dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jayson Tatum, Celtics Ridiculed By NBA Fans for Game 2 Loss to Heat With
Butler Out
-
Shooting the lights out is a pretty good strategy to adopt when you're
missing your best player. The Miami Heat evened up their first-round NBA
playoff ser...
39 minutes ago
0 comments:
Post a Comment