Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa pamoja na viongozi wao wa benchi la Ufundi wakiwa na wawakilishi wa Nyumba ni Choo waliotembelea kambi yao leo mchana na kutoa elimu ya afya. Tanzanite inajiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia U20 dhidi ya Uganda utakaochezwa Jumapili Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam.
Key Alabama football booster arrested in human trafficking bust weeks
before new college football season
-
A long-time sportswriter and key member of the Alabama Crimson Tide's
recruiting effort has been arrested in a wide-ranging human-trafficking
sting for all...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment