Wachezaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Tanzanite kwa pamoja na viongozi wao wa benchi la Ufundi wakiwa na wawakilishi wa Nyumba ni Choo waliotembelea kambi yao leo mchana na kutoa elimu ya afya. Tanzanite inajiandaa na mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia U20 dhidi ya Uganda utakaochezwa Jumapili Uwanja wa Taifa Jijin Dar es Salaam.
'No-one's going to explode' - Enhanced chief says Games will change minds
-
The first staging of the Enhanced Games - an event allowing the use of
banned performance-enhancing drugs - will change perceptions says its new
chief exec...
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment