Wachezaji wa Pilsner, beki Andrew Godwin (kulia) na kiungo Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ (kushoto) wakimuinua mwenzao, Jamhuri Kihwelo kufurahia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya vigogo, Simba SC kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru). Mabao ya Pilsner yalifungwa na Said Mrisho ‘Zico wa Kilosa’ (sasa marehemu) na Athanas Michael, wakati la Simba lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia).
Bruno Fernandes gets emotional after a reporter praises his dedication to
Man United... as his tireless performance against Liverpool leads the Red
Devils to a triumphant 4-3 win in the FA Cup
-
Fernandes got visibly emotional when praised by a reporter for his
dedication to Man United after their dramatic 4-3 FA Cup quarter-final win
over Liverpool .
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment