Wachezaji wa Pilsner, beki Andrew Godwin (kulia) na kiungo Abdallah Suleiman ‘Kaburu’ (kushoto) wakimuinua mwenzao, Jamhuri Kihwelo kufurahia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya vigogo, Simba SC kwenye mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza Bara mwaka 1988 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru). Mabao ya Pilsner yalifungwa na Said Mrisho ‘Zico wa Kilosa’ (sasa marehemu) na Athanas Michael, wakati la Simba lilifungwa na Edward Chumila (marehemu pia).
Max Verstappen CRASHES out as Kimi Antonelli investigated in dramatic
Melbourne GP qualifying dominated by Mercedes
-
Four-time world champion Max Verstappen will start from the back of the
grid at the Australian Grand Prix after crashing out during a dramatic
opening segm...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment