Juan Mata akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester Unted dakika ya 67 ikiilaza 1-0 Wolverhampton Wanderers katika mchezo wa marudio wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford, hivyo kusonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 1-0 baada ya sare ya 0-0 Januari 4 Molineux
NPC trains field functionaries for 2023 trial census in Taraba
-
From Sylvanus Viashima, Jalingo The National Population Census (NPC),
flagged off the training of 104 field functionaries for the 2023 trial
census exerc...
Dakika 17 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni