Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
Soludo says Anambra diversifying to agric-driven economy
-
Gov. Chukwuma Soludo of Anambra has warned that states may no longer pay
their basic bills if they don’t move away from FAAC-based revenue to
agriculture...
Dakika 13 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni