Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
Georgia star Javon Bullard screams 'I'm a F****NG Packer' in joyous scenes
with his family after getting NFL Draft call from Green Bay in second round
-
Georgia safety Javon Bullard shared a joyous moment with his family on
Friday night, screaming 'I'm a f****ng Packer!' after getting an
all-important call ...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment