Mshambuliaji wa timu ya taifa ya wanawake chini ya umri wa miaka 20, Diana Msemwa (kulia) akishangilia na Protasia Mbunda baada ya kuifungia Tanzanites bao la kwanza katika ushnidi wa 2-1 dhidi ya Uganda kwenye mchezo wa kufuzu Kombe la Dunia 2020. Bao la pili la Tanzania limefungwa na wakati la Opa Clement, wakati la Uganda limefungwa na Julieth Nalukenge. Sasa Tanzanites watatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo kwenye mchezo wa marudiano Uganda ili kusonga mbele
49ers coach Kyle Shanahan involved in horrific offseason car crash that
left him with a broken nose, ribs and hand
-
San Francisco 49ers head coach Kyle Shanahan was involved in a terrifying
offseason car crash that left him with multiple injuries.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment