Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Steamy new photos catch Kim Kardashian's intimate moment with Lewis
Hamilton... as insiders reveal cruel whispers of jealous WAGs
-
Kim Kardashian's polarizing entrance into the world of Formula One this
weekend has sent the rumor mill into overdrive across one of the world's
most ego-...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment