Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mookie Betts: Shohei Ohtani's Gambling Investigation Isn't a Distraction to
Dodgers
-
As MLB's investigation into the gambling allegations involving Shohei
Ohtani's former interpreter, Ippei Mizuhara, the Los Angeles Dodgers are
keeping their…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment