Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment