Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Manny Ramirez's son Lucas homers TWICE against Team USA as Brazil puts
scare into heavy favorites at WBC
-
Team Brazil, whose players struggle to find organized leagues, gave Team
USA a scare in the World Baseball Classic, thanks to a leadoff home run
from a pla...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment