Sergio Aguero akifunga bao lililoelekea kuwa la ushindi kwa Manchester City dakika ya 87 kabla ya Fernandinho kujifunga dakika ya 90 na kufanya sare ya 2-2 na Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Aguero pia aliifungia bao la kwanza Manchester City dakika ya 82 lililokuwa la kusawazisha baada ya Cenk Tosun kuanza kuifungia Crystal Palace dakika ya 39 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
After standing still all summer, do Celtic have what it takes to defend
their crown after their rivals made their moves early?
-
With the World Cup now sliding into the rear-view mirror, the focus will
turn back to domestic matters and another season of thrills and spills in
Scottish...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment