Sergio Aguero akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao matatu Manchester City dakika za 28, 57 na 81 katika ushindi wa 6-1 dhidi ya wenyeji, Aston Villa Uwanja wa Villa Park usiku wa jana, hiyo ikiwa ni hat-trick yake ya 12 kwenye Ligi Kuu ya England na kuwa mchezaji anayeongoza kufunga mabao matatu, matatu katika mechi moja. Mabao mengine ya Manchester City yalifungwa na Riyad Mahrez dakika ya 18 na 24 na Gabriel Jesus dakika ya 45 na ushei, wakati la Villa lilifungwa na Anwar El Ghazi kwa penalti dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves 0-1 Tottenham: Spurs earn first victory of the year thanks to late
Joao Palhinha strike - but it's NOT enough to climb them out of the
relegation zone as West Ham win
-
Stop the clock. After 118 days and 15 games in the Premier League under
three different managers, Tottenham have done it.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment