Beki wa JKU, Edward Mayunga (kulia) akiteleza kuondosha mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Simba, Mohammed Rashid wakati wa mchezo wa Nusu Fainali Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba SC ilishinda 1-0.
Mshambuliaji wa Simba SC, Mnyarwanda mwenye asili ya Uganda, Meddie Kagere akimtoka beki wa JKU, Edward Mayunga
Beki wa Simba SC, Serge Wawa Pascal akiudhibiti mpira dhidi ya kiungo wa JKU, Khamis Abdallah Ali
Beki wa Simba SC, Mohammed Hussein 'Tshabalala' wa Simba SC akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa JKU
Kiungo Mghana wa Simba SC, James Kotei (kushoto) akitoa pasi dhidi ya wachezaji wa JKU
Kocha wa Simba, Mrundi Masoud Juma akiwa kwenye pilika za kuiongoza timu yake jana
Mshika kibendera namba moja, Salah Abdi Mohammed wa Djibouti akitoa mwongozo jana
Kikosi cha JKU kabla ya mchezo wa jana
Kikosi cha SImba SC kabla ya mchezo wa jana
Mashabiki wa Simba SC wanaendelea kuwa watu wenye furaha nchini
Aston Villa 4-0 Bologna (7-1 agg): Unai Emery's side dominate Italians to
book place in Europa League last four as Ollie Watkins brings up his century
-
JAMES SHARPE AT VILLA PARK: But right when it matters, with Villa in search
of Champions League football via either European glory or domestic success,
Wat...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment