Mario Mandzukic akikimbia kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Croatia bao la ushindi dakika ya 109 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia usiku wa Jumatano Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi. England ilitangulia kwa bao la Kieran Trippier dakika ya tano, kabla ya Ivan Perisic kuisawazishia Croatia dakika ya 68. Croatia sasa itakutana na Ufaransa Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dangerous heatwave scorches US ahead of Fourth of July holiday
-
Millions are enduring dangerous heat and humidity, with temperatures
expected to stay at 38C (100F) for several days.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment