Mario Mandzukic akikimbia kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Croatia bao la ushindi dakika ya 109 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia usiku wa Jumatano Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi. England ilitangulia kwa bao la Kieran Trippier dakika ya tano, kabla ya Ivan Perisic kuisawazishia Croatia dakika ya 68. Croatia sasa itakutana na Ufaransa Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England battle despite Carey ton in crucial Test
-
England battle hard to stay in the Ashes as Alex Carey’s century leads
Australia to 326-8 on the first day of the third Test.
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment