Mario Mandzukic akikimbia kushangilia kishujaa baada ya kuifungia Croatia bao la ushindi dakika ya 109 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia usiku wa Jumatano Uwanja wa Luzhniki mjini Moscow, Urusi. England ilitangulia kwa bao la Kieran Trippier dakika ya tano, kabla ya Ivan Perisic kuisawazishia Croatia dakika ya 68. Croatia sasa itakutana na Ufaransa Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swiatek beats Sabalenka in thrilling Madrid final
-
World number one Iga Swiatek holds her nerve to beat world number two Aryna
Sabalenka and win her first Madrid Open.
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment