• HABARI MPYA

    Thursday, June 07, 2018

    RAIS URENO AKUTANA NA AKINA RONALDO KABLA YA KWENDA URUSI

    Rais wa Ureno, Marcelo Rebelo de Sousa (kulia) akisalimiana na nyota wa timu yake ya taifa, Cristiano Ronaldo anayetabasamu kushoto kufuatia kiongozi huyo wa nchi kukutana na wachezaji katika Makumbusho ya Kocha wa Taifa mjini Lisbon kabla ya kwenda Urusi kwenye Fainali za Kombe la Dunia wiki ijayo 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAIS URENO AKUTANA NA AKINA RONALDO KABLA YA KWENDA URUSI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top