Mshambuliaji wa Ubelgiji, Romelu Lukaku (kushoto) akimtoka mchezaji wa Misri katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Kombe la Dunia uliofanyika Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussells, Ubelgiji usiku wa jana. Ubelgiji ilishinda 3-0, mabao ya nyota wake wanaocheza England, Lukaku dakika ya 27, Eden Hazard dakika ya 38 na Marouane Fellaini dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England number eight Vunipola arrested in Majorca
-
England number eight Billy Vunipola is arrested in Spain following an
alleged incident in a bar in the early hours of Sunday morning.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment