Gwiji wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy akishangiulia na Danny Webber baada ya wote kufunga katika sare ya 2-2 na Magwiji wa Barcelona jana Uwanja wa Old Trafford kabla ya wenyeji kushinda kwa penalti 5-3. Mabao ya Barca yalifungwa na Luis Garcia na Gaizka Mendieta. Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo Juni mwaka huu Uwanja wa Nou Camp Manchester United ilifungwa 3-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment