Gwiji wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy akishangiulia na Danny Webber baada ya wote kufunga katika sare ya 2-2 na Magwiji wa Barcelona jana Uwanja wa Old Trafford kabla ya wenyeji kushinda kwa penalti 5-3. Mabao ya Barca yalifungwa na Luis Garcia na Gaizka Mendieta. Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo Juni mwaka huu Uwanja wa Nou Camp Manchester United ilifungwa 3-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
India youth protest leaders to hold talks with government but protests will
continue
-
By Saurabh Sharma, Anushree Fadnavis and YP Rajesh NEW DELHI, July 24
(Reuters) - Leaders of India's youth-led "cockroach" movement will meet the
governmen...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment