Gwiji wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy akishangiulia na Danny Webber baada ya wote kufunga katika sare ya 2-2 na Magwiji wa Barcelona jana Uwanja wa Old Trafford kabla ya wenyeji kushinda kwa penalti 5-3. Mabao ya Barca yalifungwa na Luis Garcia na Gaizka Mendieta. Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo Juni mwaka huu Uwanja wa Nou Camp Manchester United ilifungwa 3-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Russell Crowe's Souths 'power struggle' with Aussie tech billionaire
as Hollywood star's club battles its biggest drama in 20 years
-
The Gladiator star was hailed for rescuing the team and helping lead it to
grand final glory after he took control in 2006 - but recent events show
his inf...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment