Gwiji wa Manchester United, Ruud van Nistelrooy akishangiulia na Danny Webber baada ya wote kufunga katika sare ya 2-2 na Magwiji wa Barcelona jana Uwanja wa Old Trafford kabla ya wenyeji kushinda kwa penalti 5-3. Mabao ya Barca yalifungwa na Luis Garcia na Gaizka Mendieta. Mchezo wa kwanza baina ya timu hizo Juni mwaka huu Uwanja wa Nou Camp Manchester United ilifungwa 3-1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monaco Grand Prix suspended due to BROKEN track as shocking pot holes send
Charles Leclerc crashing into wall with just 10 laps to go
-
Formula One's prestigious Monaco Grand Prix has been suspended after Tarmac
broke up on the famous road circuit.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment