Nyota wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika za 13 na 40 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Italia kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Hispania katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, lilifungwa na Alvaro Morata wa Chelsea dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Monaco Grand Prix suspended due to BROKEN track as shocking pot holes send
Charles Leclerc crashing into wall with just 10 laps to go
-
Formula One's prestigious Monaco Grand Prix has been suspended after Tarmac
broke up on the famous road circuit.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment