Nyota wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika za 13 na 40 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Italia kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Hispania katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, lilifungwa na Alvaro Morata wa Chelsea dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beyond asphalt: Katsina’s infrastructure test
-
Infrastructure is often reduced to concrete, asphalt and ceremonial
ribbons. Yet its true value lies elsewhere: in the trader who reaches the
market fast...
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment