Nyota wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika za 13 na 40 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Italia kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Hispania katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, lilifungwa na Alvaro Morata wa Chelsea dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Critics waiting for Celtic to slip up - Rodgers
-
Speaking before Celtic's Champions League match with Atalanta, manager
Brendan Rodgers says his side's critics are waiting for them to slip up.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment