Nyota wa Real Madrid, Isco akishangilia baada ya kuifungia Hispania mabao mawili dakika za 13 na 40 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Italia kwenye mchezo wa Kundi G kufuzu Kombe la Dunia mwakani Urusi. Bao lingine la Hispania katika mchezo huo uliofanyika Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid, lilifungwa na Alvaro Morata wa Chelsea dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It's 50 days until the World Cup - these are the 50 new stars you HAVEN'T
heard of that you need to know about before they light up this summer's
tournament
-
To give you the expert lowdown before the action even gets going, TOM
COLLOMOSSE has picked out the 50 names you may not have heard of - but soon
will.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment