Beki wa Botswana, Simisani Mathumo (kushoto) akipambana na beki wa Tanzania, Erasto Nyoni kuwania mpira wa juu katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Taifa Stars iliwachapa The Zebras 2-0
Mfungaji wa mabao yote mawili ya Taifa Stars, Simon Msuva (kushoto) akipambana na beki wa Zebras, Lopang Mosige
Simon Msuva akipatiwa matibabu kipindi cha kwanza
Kiungo Raphael Daudi wa Tanzania akiwatoka wachezaji wa Botswana jana
Kiungo wa Tanzania, Himid Mao (kulia) akimiliki mpira
Mshambuliaji wa Tanzania, Elias Maguri akiwatoka mabeki wa Botswana
Wachezaji wa Botswana wakimdhibiti mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta
Beki wa Botswana, Edwin Olerile akimiliki mpira mbele ya winga wa Tanzania, Shiza Kichuya
Kikosi cha Tanzania katika mchezo wa jana
Kikosi cha Botswana katika mchezo wa jana
Man United's 'mini David Beckham and Harry Maguire' open up on handling
social media hype, chasing down a historic Treble - and reveal the club's
two 'standout' first-team mentors
-
INTERVIEW BY NATHAN SALT: Both are making plenty of noise behind the scenes
at United with their performances as Michael Carrick and his staff continue
to ...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment